Sunday, November 7, 2010

ETI!!!!

Habari za leo Shamimu??
Naomba kama unaweza kunisaidia hili jambo. Nasikia huwa kuna akina mama ambao wanaweza kumhudumia mtu akijifungua halafu unawalipa. Kama una contact zao naomba
Natanguliza shukrani.
Imma

No comments:

Post a Comment