Thursday, October 21, 2010

KUMBE KUNA CREAM ZA USIKU NA MCHANA?!!!!!

                                  


Unaenda kwenye duka la vipodozi unaulizia cream unaambiwa kuna ya usiku na ya mchana....wewe kwa ubahili na kubana matumiz unaamua kununua ya mchana tu bila kujua kila cream ina kazi yake
                              HAYA ZAMA BONGO UREMBO UPATE DARSA NA TUACHA UBAHILI
                                                                        BONGO UREMBO

No comments:

Post a Comment