Monday, October 4, 2010

MSAIDIENI HUYU!!

shamy naomba msaada wako mm ni binti wa miaka 26 natarajia kufunga ndoa mwanzoni mwa mwaka ujao. sasa zeze nina tatizo la michirizi kwene mikono yangu na miguu japo miguu sio sana lakini hasa kwenye mikono nahofia kutovaa nguo ya wazi. sasa naomba unisaidie nipake nini ili michirizi iishe? mana  kuna filamu ya tafrani wema anaonekana kuharibika sana na hiyo michirizi lakini nimeangalia movie mpya ameekti na kanumba hivi majuzi kati hana hata alama hata moja ya michirizi sasa nashindwa kuwasiliana nae  mana sina contact zake anielekeze amepaka nini. plz naomba unisaidie dada yangu yani nakosa raha ya kuvaa nguo ya mikono mifupi.
wako mpenda blog yako
Nina

No comments:

Post a Comment