Sunday, October 10, 2010

MSHAURINI PLZ!!

Habari za kazi, mm ni mdada lakini nimeharibika sana shepu yangu kutokana na kuwa tumbo kubwa si kwamba niia mimba la hasha ni nyama nyingi na kadri siku zinavyokwenda linaongezeka taratibu naomba ushauri nifanyeje kukata tumbo? kwasababu inapelekea nashindwa hata kuvaa tops na nimeshajaribu kufanya  sit-ups, nimekunywa maji ya moto nimepunguza kula vyakula vya mafuta na beer lakini bado ngoma iko palepale

                                          NAOMBENI USHAURI WADAU

JE UNA TATIZO LA UREMBO AU MITINDO LINAKUTATIZO NA UNAHISI WADAU WAWEZA KUKUSHAURI TUMA VIA shamyomy@yahoo.com 

No comments:

Post a Comment