Thursday, October 7, 2010

USHAURI TAFADHALI!!

Kwanza naomba nikushukuru zeze kwa kutuwekea iyo picha ya dada anakwapa jeupe (Yenye kichwa cha habari , Mambo ya wax hayo), nilikuwa nawaza nitajielezaje nikawa nashindwa pa kuanzia.

Tafadhani mie nina tatizo hilo nina kwapa jeusi pamoja na najitahidi saana kunyoa japo sijawahi kujaribu kunyoa na wax nanyoa na shaving cream ya Nair ila ni jeusi tii.

nimeona wadau wametaja vitu vya kufanya (mfano hizo bleach, laser hair removal) naomba watuelekeze hapa(coz najua ni tatizo la wengi) watupe na majina yake na cost zake ili watu tupendeze  hata tukivaa nguo za wazi tuwe na comfidence za kunyanyua kwapa kupunga mkono.

Mama T

No comments:

Post a Comment