Sunday, October 10, 2010

USHAURI TAFADHALI!!

Mie naomba ushauri, mimi ni mwanamke wa miaka 43 sasa ngozi yangu ina mafuta sana nafikiri ndio inaitwa sensitive skini sasa nilijaribu kutumia product zile za GNLD toka kipindi hicho ngozi yangu imekuwa na weusi kama nimeungua kuzunguka uso nimenitahidi nimeshindwa kila cream ninayoelekezwa kutumia nazidi ukwa mweusi na mie rangi yangu ni mweupe ingawa si mweupe sana yani nina ngozi ya kung'aa. Nisaidieni warembo nifanyeje jamani ili ngozi yangu irudi kama mwanzo?

No comments:

Post a Comment